iqna

IQNA

sayyed hassan nasrallah
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, amesema kujiuzulu Waziri Mkuu wa nchi hiyo Saad Hariri kumetokana na kulazimishwa na utawala wa Saudi Arabia na kubainisha kwamba: muamala wa udhalilishaji aliofanyiwa Waziri Mkuu wa Lebanon na utawala wa Aal Saud ni sawa na kuwadhalilisha Walebanon wote.
Habari ID: 3471257    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/11

Sayyed Hassan Nasrallah:
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh au ISIS huko Syria na inalisaidia kundi hilo kwa silaha kupitia kituo vituo vyake vya kijeshi vilivyo Syria kinyume cha sheria.
Habari ID: 3471211    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/10

Sayyed Hassan Nasrallah
IQNA: Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amatoa wito wa kuwepo umoja baina ya nchi mbali mbali duniani ili kukabiliana na tishio la kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
Habari ID: 3470732    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/10

Katibu Mkuu wa Hizbullah
Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, wakati muqawama ulipoweza kuzuia kufanikishwa malengo ya adui, ulipata ushindi, na zaidi ya hayo ni kuwa, muqawama uliweza kufanikisha malengo yake.
Habari ID: 3470595    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/03

Sayyid Hassan Nasrullah
Kiongozi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameyataka makundi ya kigaidi na kitakfiri kuweka chini silaha na yatambue kuwa harakati zao hazina maslahi kwa yeyote isipokuwa adui Marekani.
Habari ID: 3470521    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/14